Justiniani II

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Justiniani II katika mozaiki huko Ravenna, Italia.

Kaisari Justiniani II (668/669 - 4 Novemba 711) alitawala Dola la Roma Mashariki kuanzia mwaka 685 hadi 695, tena kutoka 705 hadi 711, alipouawa kwa kiburi na ukatili wake.

Alijitahidi kurudisha Dola la Roma katika hadhi yake ya zamani.

Katika historia ya Kanisa anakumbukwa kwa kuendesha mtaguso wa tano-sita katika ikulu yake.

Tangu kale Waorthodoksi wanamheshimu kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 2 Agosti[1][2].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. "Αυτοκράτορες που έγιναν Άγιοι". 3gym-mikras.thess.sch.gr. Iliwekwa mnamo 2021-07-17.
  2. "Ορθόδοξος Συναξαριστής :: Άγιος Ιουστινιανός Β' ο βασιλιάς". www.saint.gr. Iliwekwa mnamo 2021-07-17.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Vyanzo[hariri | hariri chanzo]

Vyanzo vikuu[hariri | hariri chanzo]

Vinginevyo[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii kuhusu Kaizari fulani wa Bizanti bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Justiniani II kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.