John Peter Kadutu

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

John Peter Kadutu ni mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa chama cha kisiasa cha CCM. Amechaguliwa kuwa mbunge wa Ulyankulu kwa miaka 20152020. [1]

Ameteuliwa na Bodi ya Wakurugenzi ya Singida Big Stars Football Club Archived 1 Julai 2023 at the Wayback Machine. kuwa Kaimu Ofisi Mtendaji Mkuu (CEO) wa klabu yenye maskani yake mkoani Singida, Tanzania.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Tovuti ya Bunge la Tanzania, iliangaliwa Mei 2017