John Nasasira

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

John Nwoono Nasasira ni mhandisi na mwanasiasa wa Uganda. Alikuwa hivi karibuni waziri wa Habari na Teknolojia ya Mawasiliano katika baraza la mawaziri la Uganda, lakini alijiuzulu kama mbunge mwezi Agosti 2016, akitaja Afya mbaya."[1] Aliteuliwa kuwa mbunge tarehe 23 Mei 2013, akichukua nafasi ya Ruhakana Rugunda.[2]Kabla ya hapo, kuanzia Mei 27 2011 hadi Mei 23 2013, alifanya kazi kama mratibu Mkuu wa Serikali.[3]Tangu mwaka 1996 hadi 2011, alikuwa Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi. Anawakilisha pia kaunti ya Kazo, Wilaya ya Kiruhura katika Bunge, nafasi ambayo amekuwa akifanya tangu mwaka 1989.[4]

Elimu[hariri | hariri chanzo]

Alizaliwa Wilaya ya Kiruhura mnamo 1 Mei 1952. Nasamira ana shahada ya sayansi katika uhandisi wa sayansi, shahada kutoka chuo kikuu cha Nairobi.[4]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu John Nasasira kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
  1. "Nasasira quits MPs race after 27 years". (en-UK) 
  2. UHCUK (1 Mei 2017). "Cabinet of the Government of the Republic of Uganda As At 23 May 2013". Uganda Info. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 1 Mei 2017. Iliwekwa mnamo 1 Mei 2017.{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
  3. Uganda State House (27 Mei 2011). "Comprehensive List of New Cabinet Appointments & Dropped Ministers". Facebook.com. Iliwekwa mnamo 4 Machi 2015.{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
  4. 4.0 4.1 POU. "Profile of John Nwoono Nasasira, Member of Parliament for Kazo County, Kiruhura District". Parliament of Uganda (POU). Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2016-03-04. Iliwekwa mnamo 2022-03-16.