Haji Juma Sereweji

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Haji Juma Sereweji (amezaliwa tar. 5 Februari 1948) ni mbunge wa jimbo la Mwanakwerekwe katika bunge la kitaifa huko nchini Tanzania.[1] Anatokea katika chama cha CCM.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Mengi kuhusu Haji Juma Sereweji". 19 Julai 2006. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2011-10-26. Iliwekwa mnamo 11 Novemba 2011.