Fredegandi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Fredegandi (pia: Fredigand, Frégaud, Frego, Fredegad, Fredegandus, Fridegandus; Ireland, karne ya 7 - Deurne, karibu na Antwerpen, leo nchini Ubelgiji, 740 hivi) alikuwa mmonaki wa Ukristo wa Kiselti aliyefanya kazi kubwa pamoja na Foilani, kueneza imani na umonaki katika Ulaya kaskazini magharibi, akawa abati wa Kerkelodor hadi kifo chake[1].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 17 Julai[2].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Butler, Alban (1823), The Lives of the Irish Saints, Extracted from the Writings of the Rev. Alban Butler, and Now Placed in Order, with a Prefixed Callender; to which is Added, an Office and Litany in Their Honour, with a Defence of the Monastic Institute. By a Cistercian Monk, J. Coyne, iliwekwa mnamo 13 Agosti 2021{{citation}}: CS1 maint: date auto-translated (link) Kigezo:PD-notice
  • O'Hanlon, John (1873), Lives of the Irish saints Kigezo:PD-notice
  • Ram, Pierre François Xavier de (1848), Vies des pères, martyrs et autres principaux saints d'Alban Butler (kwa Kifaransa), Vanderborght, iliwekwa mnamo 13 Agosti 2021{{citation}}: CS1 maint: date auto-translated (link) Kigezo:PD-notice
  • "Saint Frédégand of Kerkelodor", CatholicSaints.info, iliwekwa mnamo 2021-08-13
  • St. Augustine's Abbey, Ramsgate (1921), The Book of saints : a dictionary of servants of God canonized by the Catholic Church, London: A. & C. Black, ltd., iliwekwa mnamo 2021-07-26 Kigezo:PD-notice
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.