Faith Michael

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Faith Michael

Amezaliwa 28 Februari 1987
port Harcourt Nigeria
Nchi Nigeria
Kazi yake mchezaji wa mpira wa miguu

Maandishi ya koozeMaandishi ya italiki Faith Michael (alizaliwa 28 Februari 1987) ni mchezaji wa mpira wa miguu wa Nigeria ambae anacheza kama mshambuliaji kwenye ligi ya Damallsvenskan katika klabu ya Pitea IF na timu ya taifa ya wanawake ya Nigeria.[1] [2]


Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Reeves, Simon (29 Machi 2006). "Breaking new barriers". BBC. Iliwekwa mnamo 26 Aprili 2016.{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
  2. "Faith Ikidi förlänger med Piteå IF". Dam Football. 18 Desemba 2015. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2017-06-05. Iliwekwa mnamo 26 Aprili 2016. {{cite web}}: More than one of |accessdate= na |access-date= specified (help)CS1 maint: date auto-translated (link)
Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Faith Michael kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.