Eneo Huru la Biashara Afrika

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Eneo Huru la Biashara Afrika (AfCFTA) ni makubaliano ya biashara huria ya Afrika kati ya nchi 54 wanachama wa Umoja wa Afrika (AU).[1] Mkataba huo ulitiwa saini mjini Kigali Machi 21, 2018.[2][3][4]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. Obonyo, Raphael (2021-12-03). "Eneo Huru la Biashara Afrika (AfCFTA) kukuza sekta ya ubunifu, kutoa ajira kwa vijana". Iliwekwa mnamo 2022-08-12.
  2. Loes Witschge (Machi 20, 2018). "African Continental Free Trade Area: What you need to know". Al Jazeera (kwa Kiingereza).{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
  3. "Africa Set to Agree $3 Trillion Trade Bloc, Without Key Economy", Bloomberg.com, 2018-03-21. (en) 
  4. "Forty-four countries sign historic African Union free trade agreement", Africanews. (en)