Egidi mkaapweke

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Sehemu ya mchoro wa mwaka 1500 hivi.

Egidi mkaapweke (kwa Kifaransa: Gilles; 650 hivi – 710 hivi) alikuwa mmonaki Mgiriki[1] kutoka Athens, ingawa habari za maisha yake kiini chake ni mikoa ya Provence na Septimania (leo Ufaransa Kusini).

Inasemekana alianzisha monasteri ambayo ilizaa kijiji kilichopewa jina lake (Saint-Gilles-du-Gard)[2].

Kaburi lake huko limekuwa kituo muhimu cha hija kutoka Arles kwenda Santiago de Compostela kumhesimu mtume Yakobo Mkubwa.

Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 1 Septemba[3].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. Wyschogrod (1990), p. 27; Chaucer and Schmidt (1976), p. 161, Note #632.
  2. https://www.santiebeati.it/dettaglio/68500
  3. Martyrologium Romanum

Vyanzo[hariri | hariri chanzo]

  • Vita sancti Aegidii (Acta sanctorum, 9 September, 299-304)
  • Legenda Aurea, 130: Sanctus Egidius (On-line text, in Caxton's translation Archived 14 Agosti 2014 at the Wayback Machine.)
  • Chaucer, Geoffrey; Schmidt, Aubrey Vincent Carlyle (1976). The General Prologue to the Canterbury Tales and the Canon's Yeoman's Prologue and Tale. Holmes & Meier. ISBN 0-8419-0219-4.
  • Wyschogrod, Edith (1990). Saints and Postmodernism: Revisioning Moral Philosophy. University of Chicago Press. ISBN 0-226-92043-7.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.