Deusdedit wa Canterbury

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mahali pa kaburi la Deusdedit huko St Augustine's Abbey, Canterbury. Makaburi mengine ni ya Justus, Mellitus na Laurence.

Deusdedit (alifariki mwaka 664 hivi[1]) kuanzia mwaka 655 alikuwa askofu mkuu wa Canterbury, wa kwanza mwenye asili ya Kigermanik.

Ingawa maisha yanajulikana kidogo tu, ni kwamba tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa na Wakatoliki na Waanglikana tarehe 14 Julai.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. There is some controversy over the exact date of Deusdedit's death, owing to discrepancies in the medieval written work that records his life.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Abels, Richard (Fall 1983). "The Council of Whitby: A Study in Early Anglo-Saxon Politics". Journal of British Studies. 23 (1): 1–25. doi:10.1086/385808. JSTOR 175617.{{cite journal}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
  • Bede (1988). A History of the English Church and People. Sherley-Price. Leo (translator). London: Penguin Classics. ISBN 0-14-044042-9.
  • Blair, Peter Hunter (1990) [1970]. The World of Bede (toleo la Reprint). Cambridge, UK: Cambridge University Press. ISBN 0-521-39819-3.
  • Brooks, Nicholas (1984). The Early History of the Church of Canterbury: Christ Church from 597 to 1066. London: Leicester University Press. ISBN 0-7185-0041-5.
  • Delaney, John P. (1980). Dictionary of Saints (toleo la Second). Garden City, NY: Doubleday. ISBN 0-385-13594-7.
  • Farmer, David Hugh (2004). Oxford Dictionary of Saints (toleo la Fifth). Oxford, UK: Oxford University Press. ISBN 978-0-19-860949-0.
  • Fryde, E. B.; Greenway, D. E.; Porter, S.; Roy, I. (1996). Handbook of British Chronology (toleo la Third revised). Cambridge, UK: Cambridge University Press. ISBN 0-521-56350-X.
  • Hindley, Geoffrey (2006). A Brief History of the Anglo-Saxons: The Beginnings of the English Nation. New York: Carroll & Graf Publishers. ISBN 978-0-7867-1738-5.
  • Kirby, D. P. (Julai 1963). "Bede and Northumbrian Chronology". The English Historical Review. 78 (308): 514–527. doi:10.1093/ehr/LXXVIII.CCCVIII.514. JSTOR 562147.{{cite journal}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
  • Kornhammer, P. M. (1973). "The Origin the Bosworth Psalter". Anglo-Saxon England 2. Cambridge, UK: Cambridge University Press. pp. 173–187. doi:10.1017/S0263675100000417
     .
      .
     . http://www.oxforddnb.com/view/article/7560. Retrieved 21 August 2010. Kigezo:ODNBsub

Marejeo mengine[hariri | hariri chanzo]

  • Orchard, N. (1995). "The Bosworth Psalter and the St Augustine's Missal". Canterbury and the Norman Conquest. London: Hambledon Press. pp. 87–94. ISBN 1-85285-068-X
      .
  • Sharpe, R. (1995). "The Setting to St Augustine's Translation, 1091". Canterbury and the Norman Conquest. London: Hambledon Press. pp. 1–13. ISBN 1-85285-068-X
      .
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.