Bitinia

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Bitinia ikionyeshwa na rangi nyekundu.

Bitinia (kwa Kigiriki: Βιθυνία, Bithynía) ilikuwa eneo la kaskazini mwa rasi ya Anatolia (leo nchini Uturuki).

Kuanzia karne ya 4 KK hadi mwaka 74 KK ilikuwa ufalme wenye Nikomedia kama mji mkuu.

Baadaye ilitekwa na Dola la Roma hadi Waturuki Waseljuki walipoiteka katika miaka 1325-1333.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Storey, Stanley Jonathon (1999) [1998]. Bithynia: history and administration to the time of Pliny the Younger (PDF). Ottawa: National Library of Canada. ISBN 0-612-34324-3. Iliwekwa mnamo 2007-05-21.
  • T. Bekker-Nielsen, Urban Life and Local Politics in Roman Bithynia: The Small World of Dion Chrysostomos, 2008.