Alfonso wa Orozco

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mtakatifu Alfonso.

Alfonso wa Orozco, O.S.A. (Oropesa, Toledo, Hispania, 17 Oktoba 1500 - Madrid, Hispania, 19 Septemba 1591) alikuwa padri wa shirika la Waaugustino aliyepata umaarufu kwa mahubiri yake na kwa maisha ya kiroho.

Papa Leo XIII alimtangaza mwenye heri tarehe 15 Januari 1882, halafu Papa Yohane Paulo II akamtangaza mtakatifu tarehe 19 Mei 2002[1].

Sikukuu yake inaadhimishwa kila mwaka tarehe ya kifo chake[2].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Domínguez Ortiz, Antonio (1992). Los judeoconversos en la España moderna (kwa Spanish) (toleo la 2. ed.). Madrid: Mapfre. ISBN 978-84-7100-353-9. {{cite book}}: |edition= has extra text (help); Invalid |ref=harv (help)CS1 maint: unrecognized language (link)
  •  Smith, Ignatius (1913). "Bl. John of Avila". Catholic Encyclopedia. New York: Robert Appleton Company.
  • St. John of Ávila (1904). Letters of Blessed John of Avila. Stanbrook Abbey: Burns & Oates Ltd. {{cite book}}: Invalid |ref=harv (help)
  • Wilke, J. C. (2003). "John of Avila, St.". In Catholic University of America. New Catholic Encyclopedia. 7 (Hol–Jub) (2d ed.). Washington, D.C.: Gale. pp. 446–449. ISBN 0-7876-4004-2
      .

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]