Nenda kwa yaliyomo

Albert Ntabaliba Obama

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Albert Ntabaliba Obama ni mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa chama cha kisiasa cha CCM. Amechaguliwa kuwa mbunge wa Buhigwe kwa miaka 20152020. [1], mwaka 2010-2012 alikuwa mwanachama wa kamati ya huduma za jamii za bunge. [2]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Tovuti ya Bunge la Tanzania, iliangaliwa Mei 2017
  2. "Nakala iliyohifadhiwa". Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2020-01-25. Iliwekwa mnamo 2020-01-25.