Ailbe

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Ailbe (pia: Albeus, Alibeus, Elvis, Eilfyw, Eilfw[1]; alifariki 528 hivi) alikuwa askofu katika nchi ya Ireland[2][3] ambaye, akisafiri huku na huku alihubiri Injili na kuvuta wakazi wengi wa kisiwa hicho kwenye Ukristo kwa wema wake [4].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu[5].

Sikukuu yake ni tarehe 12 Septemba[6].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. Plummer, Charles (1968) [1910]. Vitae Sanctorum Hiberniae [Lives of the Saints of Ireland] (toleo la 2nd). Oxford: Clarendon. uk. 46 ff., vol. 1.
  2. Thurston, Herbert (1907). "St. Ailbe". The Catholic Encyclopedia. New York City: Robert Appleton Company (print); New Advent (web). Iliwekwa mnamo 25 Agosti 2008.{{cite book}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
  3. Smith, William; Wace, Henry (1880). A Dictionary of Christian Biography. London: John Murray. uk. 82.
  4. http://www.santiebeati.it/dettaglio/70010
  5. "History", Emly Parish.
  6. Martyrologium Romanum: ex Decreto Sacrosancti oecumenici Concilii Vaticani II instauratum auctoritate Ioannis Pauli P.P. II promulgatum, Romae 2001, ISBN 8820972107

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • de Paor, Liam (trans.) (1993). Saint Patrick's World: The Christian Culture of Ireland's Apostolic Age. Dublin: Four Courts Press.
  • Gougaud, Louis (1932). Christianity in Celtic Lands.
  • Ó Riain, Pádraig (ed. and trans.) (2017). Beatha Ailbhe: The Life of Saint Ailbhe of Cashel and Emly. London: Irish Texts Society.
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.