Agnès Callamard

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Callamard mwaka 2019

Agnès Callamard ni msimamizi wa haki za binadamu nchini Ufaransa ambaye ni Katibu Mkuu wa Amnesty International.[1] Hapo awali alikuwa ripota maalumu juu ya hukumu au mauaji ya kiholela aliyeteuliwa na Baraza la Haki za Kibinadamu la Umoja wa Mataifa. [2] Yeye pia ni Mkurugenzi wa mradi wa Chuo Kikuu cha Columbia kuhusu uhuru wa kujieleza ulimwenguni.[3]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Dr. Agnès Callamard appointed as Secretary General of Amnesty International". Amnesty International USA (kwa American English). Iliwekwa mnamo 2021-03-29.
  2. "Dr. Agnes Callamard, Special Rapporteur on extrajudicial, summary or arbitrary executions". Office of the United Nations High Commissioner for Human Rights (OHCHR).
  3. "People: Agnès S. Callamard", Global Freedom of Expression Project, Columbia University. Retrieved on 2022-05-21. Archived from the original on 2018-12-23. 
Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Agnès Callamard kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.