Afrodisi wa Beziers

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mt. Afrodisi akiwa amechorwa kama mfiadini aliyekatwa kichwa.

Afrodisi wa Beziers, mzaliwa wa Misri, alikuwa askofu wa kwanza wa mji huo wa Ufaransa katikati ya karne ya 3.

Alipelekwa huko na Paulo wa Narbonne[1].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 28 Aprili[2].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.