2 Pallas

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Picha ya Pallas kwa rangi ya Urujuanimno

2 Pallas (au Palasi; alama: ⚴) ni asteroidi ya pili iliyowahi kutambuliwa katika Mfumo wa Jua. Iligunduliwa na mtibabu na mwanaastronomia Mjerumani Heinrich Wilhelm Matthäus Olbers mnamo 28 Machi 1802.[1]

Jina la "2 Pallas" inaunganisha jina lililotolewa na Olbers, pamoja na namba ya asteroidi iliyojulikana. Jina lenyewe limanrejelea Pallas Athena aliyeabudiwa kama mungu katika dini ya Ugirki ya Kale.[2]

2 Pallas ina masi inayokadiriwa kuwa asilimia 7% ya masi yaote ya ukanda wa asteroidi. [3] Ni asteroidi kubwa ya tatu kulingana na masi yake, na ya pili kwa kuangalia kipenyo chake. Umbo lake linafanana na duaradufu yenye vipenyo kati ya km 500 na km 582.

References[hariri | hariri chanzo]

  1. "JPL Small-Body Database Browser". ssd.jpl.nasa.gov. 2011 [last update]. Iliwekwa mnamo March 21, 2011. {{cite web}}: Check date values in: |year= (help)
  2. Schmadel, Lutz D. (2003). Dictionary of minor planet names, Volume 1. Springer. uk. 15. ISBN 3540002383. Iliwekwa mnamo Machi 21, 2011.{{cite book}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
  3. Pitjeva, E. V. (2005). "High-Precision Ephemerides of Planets—EPM and Determination of Some Astronomical Constants" (PDF). Solar System Research. 39 (3): 176. doi:10.1007/s11208-005-0033-2. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo (PDF) mnamo 2012-09-07. Iliwekwa mnamo 2021-02-14. {{cite journal}}: More than one of |accessdate= na |access-date= specified (help); More than one of |archivedate= na |archive-date= specified (help); More than one of |archiveurl= na |archive-url= specified (help); Unknown parameter |dead-url= ignored (|url-status= suggested) (help); Unknown parameter |deadurl= ignored (|url-status= suggested) (help)