Salome Wycliffe Makamba

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Salome Wycliffe Makamba ni mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa chama cha kisiasa cha CHADEMA. Amechaguliwa kuwa mbunge wa Shinyanga Mjini kwa miaka 20152020. [1] Ni wakili wa Mahakama Kuu na mahakama za chini yake.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Tovuti ya Bunge la Tanzania, iliangaliwa Mei 2017