Uchaguzi wa Rais wa Marekani, 1880

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Uchaguzi wa Rais wa Marekani, mwaka wa 1880 ulikuwa wa 24 katika historia ya Marekani. Ukafanywa Jumanne tarehe 2 Novemba. Upande wa "Republican Party", James Garfield (pamoja na kaimu wake Chester Arthur) alimshinda mgombea wa "Democratic Party" Winfield Scott Hancock (pamoja na kaimu wake William Hayden English).

Matokeo[hariri | hariri chanzo]

Garfield akapata kura 214, na Hancock 155. Ramani yaonyesha kura kwa kila jimbo.