Mudhihir Mohamed Mudhihir

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Mudhihir Mohamed Mudhihir (amezaliwa tar. 1 Januari 1950) alikuwa mbunge wa jimbo la Mchinga katika bunge la kitaifa huko nchini Tanzania.[1] Anatokea katika chama cha CCM. Amehitimu Shahada ya Sheria katika Chuo Kikuu Huria cha Tanzania.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Mengi kuhusu Mudhihir Mohamed Mudhihir". 17 Julai 2006. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2011-10-19. Iliwekwa mnamo 11 Novemba 2011.