Magadi Soda Company

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Magadi Soda Company
Makao MakuuKajiado, Kenya
Tovutihttp://www.magadisoda.co.ke

Kampuni ya Magadi ya Kenya inatengeneza bidhaa za soda na inapatikana mjini Magadi kusini magharibi mwa Kenya. Kampuni ilianzishwa 1911 kando ya Ziwa Magadi ambamo madini ya Trona yanapatiana. Kwenye kampuni madini ya trona yanageuzwa kuwa Soda jivu kisha inasafirishwa kwa njia ya reli kwenda Mombasa ambako itasafirishwa na meli kwenda Uropa ama Asia.

Magadi ni moja ya kammpuni za Brunner Mond, Imperial Chemical Industries, na Tata Chemicals, na makao yake makuu yako Magadi, Kenya.

Usafiri[hariri | hariri chanzo]

Kampuni ya Magadi inasafirisha bidhaa zake kwa kutumia njia ya reli ya Shirika la Reli la Kenya.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]