Sherehe ya Utamaduni ya Wamaragoli

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Sherehe ya Utamaduni ya Wamaragoli, ambayo hufanyikia mjini Mbale kila tarehe 26 Desemba,[1] ni sherehe ya kutambua si tu utamaduni na turati za Wamaragoli, ila jamii yote ya Waluhya walio na makao katika Kaunti ya Vihiga.[2] Jamii hii ya Waluhya inajumuisha Wamaragoli, Wanyore, Watiriki na majirani zao ambao ni Waidakho na Wakisa.

Sherehe hii huandaliwa na Vihiga Cultural Society. Mlezi wa kwanza alikuwa Moses Mudavadi, baba wa mmoja wa mawaziri wakuu wasaidizi wawili wa nchi ya Kenya, Musalia Mudavadi.[3]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Wajir District Development Plan, 1997-2001. Republic of Kenya, Office of the Vice-President and Ministry of Planning and National Development. 1997. pp. p. 21. Retrieved 2008-11-08. 
  2. Ipara, Hellen (Desemba 2000). "Towards cultural tourism development around the Kakamega Forest Reserve, Kenya". In John S. Akama, Kennedy I. Ondimy, Kibicho Wanjohi, Patricia Sterry, Debra Leighton, Peter Schofield (eds.). Proceedings of the ATLAS Africa International Conference Desemba 2000, Mombasa, Kenya. Cultural tourism in Africa: strategies for the new millennium. pp. 95–108. Archived from the original on 2007-07-13. https://web.archive.org/web/20070713204659/http://www.atlas-euro.org/pages/pdf/Cultural%20tourism%20in%20Africa%20Deel%201.pdf. Retrieved 2008-11-08.
  3. Wanyande, Peter (2002). Joseph Daniel Otiende. East African Educational Publishers. pp. p. 60. ISBN 9789966251565. 
Makala hii kuhusu utamaduni wa Kenya bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Sherehe ya Utamaduni ya Wamaragoli kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.