Mpopoo

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mpopoo
(Areca catechu)
Mpopoo unaozaa
Uainishaji wa kisayansi
Himaya: Plantae (Mimea)
(bila tabaka): Angiospermae (Mimea inayotoa maua)
(bila tabaka): Eudicots (Mimea ambayo mche wao una majani mawili)
(bila tabaka): Rosids (Mimea kama mwaridi)
Oda: Arecales (Mimea kama mpopoo)
Familia: Arecaceae (Mimea iliyo na mnasaba na mpopoo)
Jenasi: Areca
Spishi: A. catechu
L.

Mpopoo (Areca catechu, betelpalm) ni mti unaozaa popoo. Kokwa hii huliwa sana huko Asia ya Kusini na Kusini-Mashariki na pia katika nchi kadhaa za Afrika ya Mashariki zenye idadi kubwa za Wahindi. Jenasi Areca ni jenasi-mfano ya familia Arecaceae.

Picha[hariri | hariri chanzo]