Wizara ya Maliasili na Utalii
Wizara ya Maliasili na Utalii (kwa Kiingereza: Ministry of Natural Resources and Tourism; kifupi MNRT) ni wizara ya serikali nchini Tanzania. Ofisi kuu ya wizara hii zipo mjini Dodoma.
Marejeo[hariri | hariri chanzo]
Tazama pia[hariri | hariri chanzo]
Makala hii kuhusu mambo ya siasa bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |