Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Ummy Mwalimu - Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii Jinsia, Wazee na Watoto nchini Tanzania aliyeteuliwa na rais wa Tanzania, Mhe. Dkt. John (2015-2020)

Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii (Kiingereza: Ministry of Health and Social Welfare kifupi (MoH)) ni wizara ya serikali nchini Tanzania. Ofisi kuu ya wizara hii zipo mjini Dar es Salaam.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]