Zizi
Mandhari
Zizi ni mahali wanapokaa wanyama wanaofugwa nyumbani kama vile ng'ombe na kuku.
Namna ya kulitengeneza inategemea aina ya mifugo, lakini pia mazingira na utamaduni.
| Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |