Zenobi wa Firenze

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Sanamu yake mbele ya kanisa la Santa Maria del Fiore, Florence.

Zenobi wa Firenze (Firenze, Italia ya Kati, 337 hivi - Firenze, 417 hivi) alikuwa askofu maarufu wa mji huo, aliyejitahidi kuinjilisha eneo lote la kandokando na kupinga Uario[1].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 25 Mei[2].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.