Zakia Meghji

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Zakia Meghji mwaka 2007.

Zakia Hamdani Meghji (alizaliwa 31 Desemba mnamo mwaka 1946) ni mwanasiasa nchini Tanzania ambaye aliwahi kuwa Waziri wa Fedha kuanzia mwaka 2006 hadi 2008.[1] Alikuwa mwanamke wa kwanza kushika wadhifa huo.

Aliwahi pia kuwa waziri wa Utalii, Meghji ndiye Waziri wa Utalii aliyehudumu kwa muda mrefu zaidi nchini humo, na ambaye alileta mabadiliko mengi mazuri katika Wizara hiyo.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Member of Parliament CV". Parliament of Tanzania. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2013-08-05. Iliwekwa mnamo 5 March 2013.  More than one of |accessdate= na |access-date= specified (help); Check date values in: |accessdate= (help)