Nenda kwa yaliyomo

Zakaria wa Mercurion

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Zakaria wa Mercurion (alifariki kwenye eneo hilo la mlima Pollino, mkoa wa Basilicata, 950 hivi BK) anakumbukwa kama mmonaki aliyeitwa "wa kimalaika" akaanzisha monasteri[1].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu. Heshima hiyo ilithibitishwa mwaka 1807.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 21 Januari[2]

Tazama pia

[hariri | hariri chanzo]
  1. http://www.santiebeati.it/dettaglio/38410
  2. Martyrologium Romanum
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.