Yves Ramousse
Mandhari
Yves Ramousse (23 Februari 1928 – 25 Februari 2021, Montauban) alikuwa askofu wa Kanisa Katoliki kutoka Ufaransa, mwanachama wa Jumuiya ya Misheni za Ng'ambo ya Paris (MEP), na Askofu Mstaafu wa Vikariati Apostoliki ya Phnom Penh, Kambodia tangu mwaka 2001.[1]
Marejeo
[hariri | hariri chanzo]| Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |