Yusto wa Aleksandria (askofu)

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Yusto wa Aleksandria (askofu) (alifariki 19 Juni 129) alikuwa askofu wa sita wa Aleksandria (Misri) miaka 118-129[1].

Alibatizwa na Marko Mwinjili ambaye inasemekana alimpa uongozi wa Chuo cha Kikristo cha Aleksandria.

Kwa kuwa hayajulikani mengine kuhusu historia yake, haorodheshwi tena na Martyrologium Romanum.

Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 6 Juni au 19 Juni.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.