Yozgat
Yozgat (pia Yuzgat au Yuzgad, Kiarmenia: Յոզգաթ), zamani uliitwa Bozok ni mji uliopo nchini Uturuki. Pia, huu ndiyo mji mkuu wa Mkoa wa Yozgat katika Kanda ya Anatolia ya Kati nchini Uturuki. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mnamo mwaka wa 2000, mji una wakazi wapatao 113,614 of ambao wengine 73,930 wanaishi kati-kati ya mji wa Yozgat.[1][2]
Marejeo
- ↑ Turkish Statistical Institute. "Census 2000, Key statistics for urban areas of Turkey" (XLS) (kwa Turkish). Iliwekwa mnamo 2008-03-19.
- ↑ GeoHive. "Statistical information on Turkey's administrative units". Iliwekwa mnamo 2008-03-19.
- Falling Rain Genomics, Inc. "Geographical information on Yozgat, Turkey". Iliwekwa mnamo 2008-03-19.
- public domain: Chisholm, Hugh, ed. (1911). Encyclopædia Britannica (11th ed.). Cambridge University Press. This article incorporates text from a publication now in the
Viungo vya Nje
- District governor's official website (Kituruki)
- District municipality's official website (Kituruki)
- A web portal of Yozgat (Kituruki)
Makala hii kuhusu maeneo ya Uturuki bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Yozgat kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |