Yohane wa Fiesole

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Sura yake katika mchoro Matendo ya Mpingakristo, kazi ya Luca Signorelli (1501 hivi), kanisa kuu la Orvieto, Italia[1].
Mchoro wake: Bikira akipashwa habari.
Mchoro wake: Kristo msulubiwa.
Hukumu ya mwisho, mchoro wake juu ya altare ya kanisa la San Marco, Florence.
Kugeuka sura, mchoro wake katika chumba cha mtawa.
Mkombozi akibariki, mchoro wa mwaka 1423.
Bikira na Mtoto pamoja na Watakatifu, sehemu ya mchoro, Fiesole (14281430)

Yohane wa Fiesole, O.P. au Beato Angelico (yaani, kwa Kiitalia: "Mwenye heri wa Kimalaika"[2]; jina la awali: Guido di Pietro; Vicchio, Firenze, 1395 hivi[3]Roma, 18 Februari 1455) alikuwa mtawa padri maarufu kama mmojawapo wa wachoraji wa kwanza wa Renaissance nchini Italia. Mtaalamu Giorgio Vasari katika kitabu chake Maisha ya Wasanii aliandika kwamba alikuwa na "kipaji adimu na kamili".[4]

Tarehe 3 Oktoba 1982 Papa Yohane Paulo II alimtangaza rasmi kuwa mwenye heri,[5] kutokana na utakatifu wa maisha yake, si tu kwa kipaji chake cha kutoka mbinguni.[6]. Vasari huyohuyo aliandika kwamba "haiwezekani kumsifu mno baba huyo mtakatifu, aliyekuwa mnyenyekevu na mtaratibu hivi katika yale yote aliyoyafanya na aliyoyasema, na ambaye picha zake zilichorwa kwa unyofu na ibada kubwa hivi."[4]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. Considered to be a posthumous portrait of Fra Angelico.
  2. Andrea del Sarto, Raphael and Michelangelo were all called "Beato" by their contemporaries because their skills were seen as a special gift from God
  3. Metropolitan Museum of Art
  4. 4.0 4.1 Giorgio Vasari, Lives of the Artists. Penguin Classics, 1965.
  5. Bunson, Matthew; Bunson, Margaret (1999). John Paul II's Book of Saints. Our Sunday Visitor. pp. 156. ISBN 0-87973-934-7. 
  6. Roman Martyrology—the official publication which includes all Saints and Blesseds recognised by the Roman Catholic Church

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Rossetti, William Michael. Angelico, Fra. 1911 Encyclopædia Britannica.
  • Hood, William. Fra Angelico at San Marco. Yale University Press, 1993. ISBN 9780300057348
  • Morachiello, Paolo. Fra Angelico: The San Marco Frescoes. Thames and Hudson, 1990. ISBN 0-500-23729-8
  • Frederick Hartt. A History of Italian Renaissance Art, Thames & Hudson, 1970. ISBN 0-500-23136-2
  • Giorgio Vasari. Lives of the Artists. first published 1568. Penguin Classics, 1965.
  • Donald Attwater. The Penguin Dictionary of Saints. Penguin Reference Books, 1965.
  • Luciano Berti. Florence, the city and its Art. Bercocci, 1979.
  • Werner Cohn. Il Beato Angelico e Battista di Biagio Sanguigni. Revista d’Arte, V, (1955): 207–221.
  • Stefano Orlandi. Beato Angelico; Monographia Storica della Vita e delle Opere con Un’Appendice di Nuovi Documenti Inediti. Florence: Leo S. Olschki Editore, 1964.

Marejeo mengine[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.