Yohane wa Brito
Mandhari

Yohane wa Brito, S.J. (pia: Arul Anandar; Lisboa, Ureno, 1 Machi 1647 – Orur, Tamil Nadu, India, 4 Februari 1693) alikuwa padri Mjesuiti mmisionari nchini India hadi kifodini chake[1] .
Alivuta wengi katika Ukristo kwa kuishi namna ya kitawa ya wamonaki Wahindu [2].
Papa Pius IX alimtangaza mwenye heri tarehe 21 Agosti 1853, halafu Papa Pius XII alimtangaza mtakatifu tarehe 22 Juni 1947.
Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]- ↑ Woods, Henry (1910). "Blessed John de Britto". Catholic Encyclopedia. Juz. la 8. New York City: Robert Appleton Company. Iliwekwa mnamo 2016-08-09.
- ↑ https://www.santiebeati.it/dettaglio/39625
- ↑ Martyrologium Romanum
Marejeo ya Kiswahili
[hariri | hariri chanzo]- Pd. Leandry Kimario, O.F.M.Cap. - Mfahamu Mtakatifu Somo Wako - Maisha ya Watakatifu wa Kila Siku pamoja na Watakatifu Wafransisko - Toleo la pili - Dar es Salaam 2021, uk. 36-37
Marejeo ya lugha nyingine
[hariri | hariri chanzo]- Beauvais, Gilles-François de (1746). La vie du venerable pere Jean de Britto, de la Compagnie de Jesus, Mis a mort aux Indes dans le Maduré, en haine de la Foi (includes online preview) (kwa Kifaransa). Paris: Henri-Simon-Pierre Gissey and Marc Bordelet. OCLC 718297640.
- Beauvais, Gilles-François de (1851). The life of the venerable servant of God, John de Britto, S. J. translated from the french of Father de Beauvais, S. J. 1746 (kwa Kiingereza). London: Thomas Richardson and Son. OCLC 557619949.
Viungo vya nje
[hariri | hariri chanzo]- Hull, Ernest (1910). "Madura Mission". Catholic Encyclopedia. Juz. la 9. New York City: Robert Appleton Company. Iliwekwa mnamo 2016-08-09.
- Saint of the Day, February 4: John de Britto Ilihifadhiwa 2 Desemba 2008 kwenye Wayback Machine. at SaintPatrickDC.org
| Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |