Yared wa Ethiopia
Jump to navigation
Jump to search
Yared wa Ethiopia (5 Aprili 525 - 11 Mei 571) ni kati ya Wakristo maarufu wa Ethiopia[1].
Anatajwa kama mwanzilishi wa muziki wa Kikristo nchini.
Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu.
Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 19 Mei.
Tazama pia[hariri | hariri chanzo]
- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
Tanbihi[hariri | hariri chanzo]
Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]
- A brief History of Saint Yared Archived Desemba 10, 2016 at the Wayback Machine.
- Biography of Saint Yared Archived Julai 28, 2011 at the Wayback Machine.
- Yelibenwork Ayele. Honoring St. Yared, Ethiopia’s father of music[dead link]. Ethiopian Reporter, Saturday August 30, 2008. (dead link)
- Charles L. Chavis Jr. Saint Yared
![]() |
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |