Siku ya kimataifa ya vijana

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka World Youth Day)
Ramani inayoonyesha kwa rangi ya kijani nchi ambazo zimepata kuwa na adhimisho walau moja la World Youth Day.
Umati wa vijana walioshiriki mwaka 2013 huko Rio de Janeiro, Brazil.
Hii ni sehemu ya mfululizo kuhusu
Kanisa Katoliki
Imani

Umoja wa Mungu
Utatu (Baba, Mwana, Roho Mtakatifu)
Umwilisho Maisha ya Yesu
Msalaba Ufufuko Kupaa
Historia ya Wokovu Ufunuo
Biblia Mapokeo Ualimu Dogma
Neema Dhambi Wokovu Sakramenti
Watakatifu Bikira Maria

Muundo

Papa: Fransisko
Urika wa maaskofu Mitaguso mikuu
Kundi la Makardinali
Kanisa la Kilatini
Makanisa Katoliki ya Mashariki

Historia

Historia Ukristo
Ukatoliki Mlolongo wa Kitume
Sifa nne za Kanisa Utetezi Ekumeni
Maisha ya kiroho Amri Kumi Utawa
Sala Falsafa Teolojia
Muziki Sanaa Sayansi

Ibada

Liturujia Mwaka wa Kanisa
Ekaristi Liturujia ya Vipindi

Mapokeo ya liturujia

Liturujia ya Kilatini (Roma Liturujia ya Trento Milano Toledo Braga Lyon Canterbury)
Liturujia ya Armenia Liturujia ya Misri
Liturujia ya Ugiriki Liturujia ya Antiokia
Liturujia ya Mesopotamia

Siku ya kimataifa ya vijana (kwa Kiingereza: World Youth Day; kifupi: WYD) ni tukio linaloandaliwa na Kanisa Katoliki kwa ajili ya rika hilo. Kila mwaka siku ya vijana inaadhimishwa ama katika majimbo tu kwenye Jumapili ya matawi, ama kimataifa katika mji fulani.

Mpango huo ulianzishwa na Papa Yohane Paulo II mwaka 1985 kwa kufuata mang'amuzi yake nchini Polandi [1] ukaendelezwa na waandamizi wake, Papa Benedikto XVI [2] na Papa Fransisko.

Misa ya kumalizia adhimisho hilo mjini Manila, Ufilipino, mwaka 1995 ilihudhuriwa na watu milioni 5.

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. Its concept has been influenced by the Light-Life Movement that has existed in Poland since the 1960s, where during summer camps Catholic young adults over 13 days of camp celebrated a "day of community".
  2. nsymmonds (22 December 2008). Statements of Benedict XVI. Blog.beliefnet.com. Jalada kutoka ya awali juu ya 2012-09-28. Iliwekwa mnamo 5 December 2011.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii kuhusu Kanisa Katoliki bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Siku ya kimataifa ya vijana kama historia yake au maelezo zaidi?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.