Wolfgang Weider
Mandhari
Wolfgang Weider (29 Oktoba 1932 – 14 Februari 2024) alikuwa askofu wa Kanisa Katoliki kutoka Ujerumani. Alihudumu kama askofu msaidizi wa Jimbo Kuu Katoliki la Berlin kuanzia 1982 hadi 2009.
Weider alifariki tarehe 14 Februari 2024, akiwa na umri wa miaka 91[1]
Marejeo
[hariri | hariri chanzo]| Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |