Wincate Kaari

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Wincate Kaari Kinyua 13 Novemba 1999.Anafahamika kama Wincate Kaari .Ni mwanasoka nchini Kenya anayecheza nafasi ya mtetezi wa Thika Queens FC na timu ya wanawake nchini kenya.


Kazi za Kimataifa[hariri | hariri chanzo]

Kaari aliishindia Kenya katika ngazi ya juu wakati wa 2020 CAF Women’s Olympic Qualifying Tournament(second round)[1].

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Harambee Starlets complete Olympics Qualifier aggregate win over Malawi". FKF.