Nenda kwa yaliyomo

William Lawrence Adrian

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

William Lawrence Adrian (16 Aprili 188313 Februari 1972) alikuwa askofu wa Kanisa Katoliki nchini Marekani. Alihudumu kama askofu wa Jimbo Katoliki la Nashville katika Tennessee kutoka mwaka 1936 hadi 1969.[1]

  1. "Most Rev. William Adrian, Ex‐Bishop of Tennessee". The New York Times. 15 Februari 1972.{{cite news}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.