Mikoa ya Eswatini
Mandhari
(Elekezwa kutoka Wilaya za Eswatini)

Mikoa ya Eswatini ni ngazi ya kwanza ya ugatuzi katika ufalme huo wa Kusini mwa Afrika. Iko minne: Hhohho, Lubombo, Manzini na Shiselweni.
| Mkoa # | Mkoa | Makao makuu | Eneo (km2) [1] |
Population (sensa ya mwaka 2023) |
Msongamano
(per km2) |
|---|---|---|---|---|---|
| 1 | Hhohho | Mbabane | 3,625.17 | 377,812 | 104.22 |
| 2 | Manzini | Manzini | 4,093.59 | 374,293 | 91.43 |
| 3 | Lubombo | Siteki | 5,849.11 | 248,594 | 42.5 |
| 4 | Shiselweni | Nhlangano | 3,786.71 | 235,427 | 62.17 |
Marejeo
[hariri | hariri chanzo]- ↑ Swaziland at GeoHive Archived 2013-12-14 at the Wayback Machine