Jimbo la Woroba

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Wilaya ya Woroba)


Jimbo la Woroba
Jimbo la Woroba is located in Côte d'Ivoire
Jimbo la Woroba
Jimbo la Woroba

Eneo katika Côte d'Ivoire

Majiranukta: 8°22′6″N 6°44′46″W / 8.36833°N 6.74611°W / 8.36833; -6.74611
Nchi Bendera ya Côte d'Ivoire Cote d'Ivoire
Jimbo Woroba
Idadi ya wakazi
 - Wakazi kwa ujumla 845,139[1]

Jimbo la Woroba (kwa Kifaransa: District du Woroba) ni moja kati ya majimbo 14 za nchini Cote d'Ivoire. Iko magharibi mwa nchi[1].

Mwaka 2014, (Sensa ya Cote d'Ivoire ya 2014) idadi ya wakazi ilikuwa watu 845,139[1].

Makao makuu yako Séguéla.

Mikoa[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. 1.0 1.1 1.2 Districts of Côte d'Ivoire (Ivory Coast). Iliwekwa mnamo 12 Juni 2019.