Jimbo la Sassandra-Marahoué

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru


Jimbo la Sassandra-Marahoué
Jimbo la Sassandra-Marahoué is located in Côte d'Ivoire
Jimbo la Sassandra-Marahoué
Jimbo la Sassandra-Marahoué

Eneo katika Côte d'Ivoire

Majiranukta: 7°3′18″N 6°20′12″W / 7.05500°N 6.33667°W / 7.05500; -6.33667
Nchi Bendera ya Côte d'Ivoire Cote d'Ivoire
Jimbo Sassandra-Marahoué
Idadi ya wakazi
 - Wakazi kwa ujumla 2,293,304[1]

Jimbo la Sassandra-Marahoué (kwa Kifaransa: District de Sassandra-Marahoué) ni moja kati ya majimbo 14 za nchini Cote d'Ivoire. Iko magharibi mwa nchi[1].

Mwaka 2014, (Sensa ya Cote d'Ivoire ya 2014) idadi ya wakazi ilikuwa watu 2,293,304[1].

Makao makuu yako Daloa.

Mikoa[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. 1.0 1.1 1.2 Districts of Côte d'Ivoire (Ivory Coast). Iliwekwa mnamo 12 Juni 2019.