Nenda kwa yaliyomo

Wilaya ya Mporokoso

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Wilaya ya Mporokoso nchini Zambia.

Wilaya ya Mporokoso ni wilaya mojawapo kati ya 116 zinazounda mikoa 10 ya Zambia. Inapatikana katika Mkoa wa Kaskazini pamoja na nyingine 11. Kadiri ya sensa ya mwaka 2022 ina wakazi 63,452 katika eneo la kilometa mraba 4,196 [1]. Makao makuu ya wilaya yako Mporokoso.

Tazama pia

[hariri | hariri chanzo]
  1. 2022 Census of Population and Housing - Preliminary Report (PDF)


 
Mikoa ya Zambia
Bandera ya Zambia
Copperbelt | Kaskazini | Kaskazini-Magharibi | Kati | Kusini | Luapala | Lusaka | Magharibi | Mashariki | Muchinga
+/-
Makala hii kuhusu maeneo ya Zambia bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Wilaya ya Mporokoso kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.