Wilaya ya Mkoani

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mahali pa Mkoani (kijani) katika mkoa wa Pemba Kusini.

Wilaya ya Mkoani ni wilaya moja ya Mkoa wa Pemba Kusiniyenye postikodi namba 74100[1]. Katika sensa ya mwaka 2012, idadi ya wakazi wa wilaya hiyo ilihesabiwa kuwa ni 97,867. [2]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu maeneo ya Pemba bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Wilaya ya Mkoani kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Tafadhali usiingize majina ya maafisa au viongozi wa sasa maana wanabadilika mno.
Kata za Wilaya ya Mkoani - Mkoa wa Pemba Kusini - Tanzania

Chambani | Chokocho | Chumbageni (Pemba) | Kangani | Kengeja | Kisiwa Panza | Kiwani | Makombeni | Makoongwe | Mbuguani | Michenzani | Mizingani | Mkanyageni | Mtambile | Mtangani | Muambe | Ngombeni | Ngwachani | Shidi | Ukutini | Uweleni | Wambaa