Wilaya ya Kilolo

Mahali pa wilaya ya Kilolo (kijani) katika mkoa wa Iringa kabla haujamegwa.
Wilaya ya Kilolo ni wilaya mojawapo ya Mkoa wa Iringa Tanzania yenye Postikodi namba 51300.
Katika sensa ya mwaka 2012, idadi ya wakazi wa wilaya hiyo ilihesabiwa kuwa 218,130[1]
Wilaya hii imepakana na mkoa wa Morogoro upande wa kaskazini na mashariki, wilaya ya Iringa Vijijini upande wa magharibi na wilaya ya Mufindi upande wa kusini.
Tanbihi[hariri | hariri chanzo]
![]() |
Kata za Wilaya ya Kilolo - Tanzania | ![]() |
---|---|---|
Boma la Ng'ombe | Dabaga | Ibumu | Idete | Ihimbo | Ilula | Image | Irole | Kimala | Kising'a | Lugalo | Mahenge | Masisiwe | Mlafu | Mtitu | Ng'ang'ange | Ng'uruhe | Nyalumbu | Nyazwa | Ruaha Mbuyuni | Udekwa | Uhambingeto | Ukumbi | Ukwega |
![]() |
Makala hii kuhusu maeneo ya Mkoa wa Iringa bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Wilaya ya Kilolo kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |