Wilaya ya Kilolo

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mahali pa wilaya ya Kilolo (kijani) katika mkoa wa Iringa kabla haujamegwa.
Wilaya ya Kilolo

Wilaya ya Kilolo ni wilaya mojawapo ya Mkoa wa Iringa Tanzania yenye Postikodi namba 51300.

Katika sensa ya mwaka 2012, idadi ya wakazi wa wilaya hiyo ilihesabiwa kuwa 218,130[1]

Wilaya hii imepakana na mkoa wa Morogoro upande wa kaskazini na mashariki, wilaya ya Iringa Vijijini upande wa magharibi na wilaya ya Mufindi upande wa kusini.

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Flag of Tanzania.svg Kata za Wilaya ya Kilolo - Tanzania Flag of Tanzania.svg

Boma la Ng'ombe | Dabaga | Ibumu | Idete | Ihimbo | Ilula | Image | Irole | Kimala | Kising'a | Lugalo | Mahenge | Masisiwe | Mlafu | Mtitu | Ng'ang'ange | Ng'uruhe | Nyalumbu | Nyazwa | Ruaha Mbuyuni | Udekwa | Uhambingeto | Ukumbi | Ukwega


Flag-map of Tanzania.svg Makala hii kuhusu maeneo ya Mkoa wa Iringa bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Wilaya ya Kilolo kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.