Wikipedia:Mradi/Nchi
Mradi wa Wikipedia wa Nchi

Mradi wa Wikipedia wa Nchi ni juhudi maalum ya kuboresha na kuratibu ubora wa makala zote zinazohusu nchi. Lengo lake kuu ni kuhakikisha kuwa makala hizi zinakuwa na uwazi, zimeandikwa kwa hali ya juu, na zina taarifa kamili na zinazotegemeka kwa faida ya wasomaji wote.
Maelezo
[hariri chanzo]Makala ya Wikipedia inayohusu nchi inapaswa kuanza kwa kifungu cha utangulizi chenye muundo maalum na wenye maelezo muhimu na msingi, ikiwemo eneo la kijiografia, idadi ya wakazi, majina mengine yanayojulikana, ukubwa wa eneo, na lugha za rasmi, na kifungu hiki kinapaswa kuwa na urefu usiopungua herufi 500 (bytes. Mara tu baada ya kifungu cha utangulizi, ni Jedwali la nchi iliyo na maelezo ya nchi kwa kifupi, huku kikifuatiwa na aya tatu hadi nne za muhtasari unaozungumzia kwa ufupi juu ya nchi husika, kama vile maelezo ya jiografia, historia, Uchumi na vipengele vingine vinavyovutia kuhusu nchi hiyo kama utamaduni n.k, na kila aya kwa upande wake haipaswi kuzidi herufi 500 ili kudumisha ufasaha na usahihi wa habari.
Sehemu ya Utangulizi
[hariri chanzo]Aya ya Utangulizi
[hariri chanzo]Mfano:
Kanada, ni nchi iliyoko katika Amerika ya Kaskazini. Inapakana na Bahari ya Atlantiki mashariki, Bahari ya Pasifiki magharibi, Bahari ya Aktiki kaskazini, na Marekani bara kusini. Kanada ina idadi ya wakazi takriban milioni 41 mwaka 2025 na kuwa ya 37 duniani kwa idadi ya watu, huku ikiwa na eneo la pili kubwa zaidi duniani baada ya Urusi. Mji mkuu ni Ottawa, na jiji kubwa zaidi ni Toronto, likifuatiwa na Montreal na Vancouver. Lugha rasmi ni Kiingereza na Kifaransa, na Kanada inajulikana kwa msitu na maziwa yake mengi, mfumo wa kisiasa wa kidemokrasia wa kifederali, utofauti wa kitamaduni, viwango vya juu vya maisha, na kuwa miongoni mwa mataifa tajiri na yenye ushawishi mkubwa duniani.
Makala Bora (MB)
[hariri chanzo]Makala Nzuri (MN)
Orodha
[hariri chanzo]Makala Kati (MK)
Makala Msingi (MS)
Makala ya chini (MC)
Orodha
[hariri chanzo]- Andorra
- Angola
- Argentina
- Armenia
- Austria
- Brunei
- Bolivia
- Chad
- Chile
- Eswatini
- Gabon
- Guinea
- Guinea-Bissau
- Guinea ya Ikweta
- Hungaria
- Jibuti
- Kambodia
- Kamerun
- Kodivaa
- Komori
- Laos
- Lesotho
- Libya
- Malawi
- Mauritania
- Msumbiji
- Niger
- Paraguay
- Peru
- Sao Tome na Principe
- Senegal
- Sierra Leone
- Timor ya Mashariki
- Tunisia
- Uruguay
- Zambia
- Sahara ya Magharibi