Nenda kwa yaliyomo

Wiki Indaba

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Wiki Indaba ni mkutano maalumu unaoandaliwa na taasisi ya Wikimedia Foundation kwa ajili ya bara la Afrika.[1][2] Katika mkutano huo hufanyika midahalo na majadiliano juu ya mada mbalimbali kuhusiana na miradi ya Wikipedia katika bara la Afrika.

Toleo la mwaka 2025 linatarajiwa kufanyika Dar es Salaam, Tanzania, kuanzia tarehe 21 hadi 23 Novemba.

Maelezo haya yanaonyesha vipindi tofautitofauti ambavyo mkutano wa Wiki Indaba ulifanyika.

Nembo Mkutano Tarehe Nchi
WikiIndaba 2014 Juni 20–22 Johannesburg, Afrika Kusini[3]
WikiIndaba 2017 Januari 20–22 Accra, Ghana[4]
WikiIndaba 2018 Machi 16–18 Tunis, Tunisia[5]
WikiIndaba 2019 Novemba 8–10 Abuja, Nigeria[6]
WikiIndaba 2021 Novemba 5–7 Kwa njia ya mtandao
WikiIndaba 2022 Novemba 4–6 Kigali, Rwanda
  1. Fripp, Charlie (2014-06-24). "What does Wikipedia need to do in Africa?". htxt.africa. Iliwekwa mnamo 2017-01-21.
  2. "Wiki Indaba 2017". Opensource.com (kwa Kiingereza). Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2020-04-13. Iliwekwa mnamo 2017-02-08. {{cite news}}: More than one of |accessdate= na |access-date= specified (help)
  3. June, Charlie Fripp on 24th (2014-06-24). "What does Wikipedia need to do in Africa?". htxt.africa. Iliwekwa mnamo 2017-02-08.{{cite web}}: CS1 maint: numeric names: authors list (link)
  4. "Wiki Indaba Kickstarts in Accra, Ghana - The African Dream". www.theafricandream.net (kwa Kiingereza). Iliwekwa mnamo 2018-04-29.
  5. "WikiIndaba conference 2018". Iliwekwa mnamo 2017-12-24.
  6. "WikiIndaba conference 2019". Iliwekwa mnamo 2019-08-25.