Waldstadion
Mandhari
Waldstadion ni uwanja wa mpira wa miguu nchini Austria. Ulizinduliwa kwenye mji wa Pasching nchini Austria. Uwanja huu hutumiwa na timu ya FC Pasching na una uwezo wa kuhifadhi mashabiki 7,870.[1]
Marejeo
[hariri | hariri chanzo]- ↑ "TGW-Arena (Waldstadion) – StadiumDB.com". stadiumdb.com.
| Makala hii kuhusu mambo ya michezo bado ni mbegu. Je, unajua kitu zaidi kuhusu Waldstadion kama historia yake, uenezi au kanuni zake? Labda unaona katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine habari zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |