Wabakoko

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Wabakoko, pia wanajulikana kama Wabasoo, ni kabila la Kibantu nchini Kamerun.

Kulingana na takwimu za mwaka 2010 wako takriban 111,000, wengi wao wakiwa wamejikita katika Mkoa wa Littoral, kusini magharibi mwa nchi. [1]

Wanazungumza Kibakoko na wanahusiana na watu wa Bassa. [2] [3] Watu hao waliweka upinzani kwa Wajerumani walipovamia Kamerun mnamo 1889. [4]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Bakoko people". Joshua Project. Iliwekwa mnamo 28 August 2012.  Check date values in: |accessdate= (help)
  2. Appiah, Anthony; Gates, Henry Louis (17 February 2010). Encyclopedia of Africa. Oxford University Press. uk. 148. ISBN 978-0-19-533770-9. Iliwekwa mnamo 28 August 2012.  Check date values in: |date=, |accessdate= (help)
  3. Fanso, Verkijika G. (31 July 1989). Cameroon History for Secondary Schools and Colleges: Prehistoric times to the nineteenth century. Macmillan. uk. 49. ISBN 978-0-333-47121-0. Iliwekwa mnamo 28 August 2012.  Check date values in: |date=, |accessdate= (help)
  4. Jonassohn, Kurt; Björnson, Karin Solveig (1998). Genocide and Gross Human Rights Violations in Comparative Perspective. Transaction Publishers. uk. 250. ISBN 978-0-7658-0417-4. Iliwekwa mnamo 28 August 2012.  Check date values in: |accessdate= (help)