Nenda kwa yaliyomo

Vita vya Oman na Zanzibar

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

 

Vita vya Oman na Zanzibar
Usultani wa Zanzibar (rangi ya waridi)
Sehemu ya Utawala wa Oman Afrika
Tarehe1784
MahaliFunguvisiwa la Zanzibar
MatokeoUshindi wa Oman
Waasi / Pande Zilizopigana
Dola la Oman Majeshi ya wenyenji kutoka Zanzibar, Mombasa na kisiwa cha Pemba
Makamanda na Viongozi
Ahmad bin Said Haijulikani
Nguvu ya Vikosi
Hasara na Vifo

Vita vya Oman na Zanzibar (kwa Kiarabu: حرب عمان-زنجبار) ulikuwa mgogoro wa mwaka 1784 kati ya Milki ya Oman na Zanzibar. Ilikuwa mara ya kwanza kupigana tangu 1779. Unguja, koloni la Oman, iliasi kwa msaada wa vikosi vya Kiafrika kutoka Mombasa na Kisiwa cha Pemba. Oman iliamua iivamie Zanzibar kwa nguvu, na kuiteka katika vita vya muda mfupi. Kikosi cha Oman kilitumwa na Hilal bin Ahmad, mwana mkubwa wa Sultani Ahmad bin Said al-Busaidi.

Makala hii kuhusu mambo ya kihistoria bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Vita vya Oman na Zanzibar kama enzi zake au matokeo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.