Visenta Maria Lopez
Visenta Maria Lopez (Cascante, Hispania, 22 Machi 1847 - Madrid, 26 Desemba 1890) alikuwa bikira mwanzilishi wa shirika la Masista wa Maria Imakulata ambalo ndani ya Kanisa Katoliki linahudumia wasichana.
Papa Pius XII alimtangaza mwenye heri mwaka 1950 na Papa Paulo VI mtakatifu mwaka 1975.
Sikukuu yake huadhimishwa tarehe ya kifo chake[1].
Tazama pia[hariri | hariri chanzo]
- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
Tanbihi[hariri | hariri chanzo]
Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |